Personal Growth
Free
2 min read
EL NIÑO: TUSIIONE MVUA KAMA JANGA PEKEE, TUIONE PIA KAMA FURSA YA KUONGEZA UZALISHAJI WA CHAKULA
Katika mikoa ya Geita, Mwanza, Morogoro, Mbeya, Tabora, Iringa, Sumbawanga na Kigoma, kilimo cha mahindi na mpunga ni sehemu muhimu ya uzalishaji wa chakula na shughuli za kiuchumi za wananchi.